Posts

Magonjwa ya sikio na mtibabu yake

MAGONJWA YA SIKIO NA MATIBABU YAKE (A) UTANGULIZI. Kwanza napenda kutoa shukurani kubwa kwa wale wote wanao share na ku subscribe na kutoa comment zako.Maradhi haya ya sikio mara nyingi hukumba sana watu katika umri wa utoto na hatimae kukua wakia na maradhi haya.Magonjwa hayo husababishwa na ima kwa bakteria ama virusi na kuathiri sehemu mbalimbali za sikio.Bakteria au virusi hivyo katika sehem ya kati ya sikio (middle ear) na kuharibu ngoma ya sikio.Kuna sehem ya sikio iitwayo Eustachian tube,sehemu hii hutunza maji maji katika sikio kutokana na mashambulizi ya bakteri hupelekea kushambulia mikija hii na maji maji hayo kwenda katika sehem ya kati ya sikio na kuleta madhara (B) DALILI ZA MAJONJWA YA SIKIO. ~Maumivu makali katika sikio ~Muwasho katika sikio ~Kutokwa na usaha katika masikio ~Kupoteza usikivu ~Sikio kutoa harufu (C)MATIBABU YA MAGONJWA YA SIKIO. *Tangawizi.Mara nyingi sana tangawizi hutumika katika magonjwa ya sikio kwani hutumika kama antibiotic, antibact...

Tambua namna na athari z ugonjwa wa macho na matibabu yake

UGONJWA WA MACHO NA M ATIBABU YAKE YALIOMO (1)Utangulizi (2)Sababu ya ugonjwa wa macho (3)Dalili za ugonjwa wa macho (4)Matibabu ya ugonjwa wa macho (1) UTANGULIZI Watu wenge husumbuliwa na matatizo ya macho na hupata tabu sana jinsi ya kujilinda na kujitibu wawapo nyumbani.Kutokana na ugonjwa huu napenda tuungane na tuweza kupeana ujuzi na elimu ya ugonjwa huu. Kuna aina nyingi za maginjwa ya macho ila kwa leo ningependa tujifunze ugojwa ugonjwa wa macho uitwao Conjuctivitis na muda mwengine huitwa Cold virus Conjuctivitis ni ugonjwa wa macho unao sababisha vivimbe katika sehemu ya ndani ya jicho (2) SABABU ZA UGONJWA WA CONJUCTIVITIS Kuna sababu mbalimbali kutegemea na aina ya uambukizwaji wake kama bacteria au virusi.Zifuatazo ni mgongoni mwa sababu zinazopelekea kutoka kwa ugojwa huo 1.Athari za ugonjwa wa mapafu Ocular Histoplasmosis (OHS) Atharii hii hupanda na kufika katika retina ya jicho na kuharibu uwezezo wa retina kufanya kazi ...